Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Sslaam na Pwani (DAWASA) imeendelea kutekeleza agizo la Serikali la kuhimiza unawaji mikono kwa sabuni. 
Ofisi zote za Mamlaka zimeandaa masinki katika milango mikuu ya kuingia katika Majengo yake ili kuwezesha Watumishi  na wageni wote kupata  huduma kunawa mikono kwa majisafi  na sabuni kabla ya kuingia.
 

 
 





 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
No comments:
Post a Comment