HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, December 5, 2019

Babawatoto organization yakutana wadau kujadili upigaji vita unyanyasaji wa kijinsia kwa watoto wa mitaani jijini Dar

Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika lisilo la kiserikali la Babawatoto, Mgunga Mwamnyenyelwa akizungumza katika mkutano wa kujadili changamoto mbalimbali zinazowakabili watoto wa mitaani uliowahusisha wadau wa kupiga vita unyanyasaji wa kijinsia kwa watoto wa mitaani uliofanyika kwenye Ukumbu wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam hivi karibuni. Mkutano huo uliandaliwa na Shirika lisilo la kiserikali la Babawatoto.
 Mkuu wa kituo cha Polisi Magomeni, OCS Laurent Idowa  akitoa maelezo ya namna ya kukabiliana na changamoto za kijinisa zinazowakabili watoto wa mitaani katika mkutano wa wadau wa kujadili unyanyasi wa kijinsia kwa watoto wa mitaani, uliofanyika kwenye Ukumbu wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam hivi karibuni.
 Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika lisilo la kiserikali la BabawatotoMgunga Mwamnyenyelwa (kulia) akiwa pamoja na washiriki wengine wakati wasikikiza maoni ya wadau wakati wa mkutano wa kupiga vita unyanyasaji wa kijinsia kwa watoto wa mitaani uliofanyika jijini Dar es Salaam hivi karibuni.
Afisa wa Jeshi la Polisi Dawati la Jinsia kanda maalumu, Mudathir Kato akitoa maelezo wakati wa mkutano wa wadau ww kujadili upigaji vita unyanyasaji wa kinjisia kwa watoto wa mitaani huo ulioratibiwa na taasisi ya Babawatoto organization hivi karibuni.
Picha ya pamoja ya wadau waliohudhira mkutano wa wadau wa kupiga vita unyanyasaji wa kijinsia kwa watoto wa mitaani uliofanyika jijini Dar es Salaam hivi karibuni

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad