HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, October 16, 2019

RAIS DKT. MAGUFULI AZUNGUMZA NA WANANCHI WA NACHINGWEA MKOA LINDI

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na Wananchi wa Nachingwea mara baada ya kuwasili wakati akitokea Ruangwa.

Wananchi wa Nachingwea mkoani Lindi wakimsikiliza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania  Dkt. John Pombe Magufuli.
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na wanachi wa Ikungu Nachingwea mkoani Lindi.
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiangalia hotuba yake kabla ya kuzungumza na wananchi wa Nachingwea mara baada ya kuwasili wakati akitokea Ruangwa.
. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akifurahia jambo wakati alipokuwa akizungumza na wananchi wa Nachingwea mara baada ya kuwasili wakati akitokea Ruangwa. PICHA NA IKULU

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad