Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akihutubia wananchi kijiji cha Chala wilayani Nkasi Mkoa wa Rukwa akiwa njiani akitokea Sumbawanga leo Oktoba 8, 2019.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisoma mango kabla ya kuikata utepe kuzindua barabara ya Sumbawanga-Kanazi mkoani Rukwa leo Oktoba 8, 2019.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akishuhudia wananchi wakijiandikisha katika daftari la mpinga kura eneo la Nkomolo Wilaya ya Nkasi mkoani Rukwa leo Oktoba 8, 2019. Akitoa maelezo kushoto ni Katibu Tawala Msaidizi wilaya ya Nkasi Bw. Albinus Mugonya.
Mke wa Rais Mama Janeth Magufuli akituza viaja wa kwaya ya JKT walipotumbuiza wakati wa mkutano wa hadhara Mjini Nyamanyere wilaya ya Nkasi Mkoa wa Rukwa leo Oktoba 8, 2019
Sehemu ya barabara ya Sumbawanga-Kanazi yenye urefu wa kilometa 75 iliyozinduliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli leo Oktoba 8, 2019.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe
Magufuli akiongea na Mama Felista Mkombo baada ya kuamuru ofisi za
Mkjuu wa Wilaya na Mkuu wa Polisi Wilayani Nkasi kumpa shillingi
milioni 15 kama fidia ya kuibiwa ng'ombe zake 25 Mjini Namanyere
wilayani Nkasi
PICHA NA IKULU
No comments:
Post a Comment