HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, October 4, 2019

JKCI KUTOA MAFUNZO YA DHARURA KWA WATAALAMU WA MUHIMBILI, MOI NA AMANA

 Baadhi ya washiriki wa mafunzo ya siku mbili ya kutoa huduma za dharula na jinsi ya kuwahudumia wagonjwa wanaohitaji uangalizi maalum wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kumalizika kwa mafunzo hayo. Jumla ya washiriki 75 kutoka Hospitali za Taifa Muhimbili (MNH), Taasisi ya Mifupa MOI, Amana, Mwananyamala, Temeke na Mloganzila walihudhuria mafunzo hayo yaliyoandaliwa na Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Idara ya usingizi na wagonjwa walioko katika uangalizi maalum.
 Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Prof. Mohamed Janabi akieleza umuhimu wa mafunzo ya kutoa huduma za dharula na jinsi ya kuwahudumia wagonjwa walioko katika chumba cha uangalizi maalum (ICU) yanavyoweza kuokoa maisha ya mgonjwa. Jumla ya washiriki 75 kutoka Hospitali za Taifa Muhimbili (MNH), Taasisi ya Mifupa MOI, Amana, Mwananyamala, Temeke na Mloganzila walihudhuria mafunzo hayo yaliyoandaliwa na JKCI Idara ya usingizi na wagonjwa walioko katika uangalizi maalum. Picha na JKCI
 Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Prof. Mohamed Janabi akimkabidhi Daktari Bingwa wa usingizi na wagonjwa walioko katika chumba cha uangalizi maalum (ICU) wa Taasisi ya mifupa MOI Asha Abdulla cheti cha ushiriki wa mafunzo ya siku mbili ya kutoa huduma za dharula na jinsi ya kuwahudumia wagonjwa wanaohitaji uangalizi maalum. Jumla ya washiriki 75 kutoka Hospitali za Taifa Muhimbili (MNH), Taasisi ya Mifupa MOI, Amana, Mwananyamala, Temeke na Mloganzila walihudhuria mafunzo hayo yaliyoandaliwa na JKCI Idara ya usingizi na wagonjwa walioko katika uangalizi maalum.
 Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Prof. Mohamed Janabi akimkabidhi Daktari wa usingizi na wagonjwa walioko katika chumba cha uangalizi maalum (ICU) wa Hospitali ya Taifa Muhimbili-Mloganzila Nsia Mushi heti cha ushiriki wa mafunzo ya siku mbili ya kutoa huduma za dharula na jinsi ya kuwahudumia wagonjwa wanaohitaji uangalizi maalum. Jumla ya washiriki 75 kutoka Hospitali za Taifa Muhimbili (MNH), Taasisi ya Mifupa MOI, Amana, Mwananyamala, Temeke na Mloganzila walihudhuria mafunzo hayo yaliyoandaliwa na JKCI Idara ya usingizi na wagonjwa walioko katika uangalizi maalum.
 Daktari Bingwa wa usingizi na wagonjwa walioko katika chumba cha uangalizi maalum (ICU) wa Taasisi ya mifupa MOI Asha Abdulla akitoa neno la shukrani wakati wa kufungwa kwa mafunzo ya siku mbili ya kutoa huduma za dharula na jinsi ya kuwahudumia wagonjwa wanaohitaji uangalizi maalum. Jumla ya washiriki 75 kutoka Hospitali za Taifa Muhimbili (MNH), Taasisi ya Mifupa MOI, Amana, Mwananyamala, Temeke na Mloganzila walihudhuria mafunzo hayo yaliyoandaliwa na Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Idara ya usingizi na wagonjwa walioko katika uangalizi maalum.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad