HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, October 15, 2019

IGP SIRRO AFANYA ZIARA KATIKA KITUO CHA POLISI CHA RUANGWA MKOANI LINDI

 Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro, akipokea salamu kutoka kwa CPL Zurith baada ya kuwasili katika kituo cha Polisi cha Ruangwa alipopitia akiwa katika ziara ya Mh Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk Joseph Magufuli. 
 Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro akiwa katika picha ya pamoja na Maafisa, Wakaguzi na Askari wa Kituo cha Polisi cha Ruangwa kilichopo mkoani Lindi.( PICHA NA JESHI LA POLISI)
Maafisa na wakaguzi wakimpokea Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro baada ya kuwasili katika kituo cha Polisi cha Ruangwa kilichopo wilayani Ruangwa mkoani Lindi kwaajili ya kusikiliza changamoto za askari wa kituo hicho. (PICHA NA JESHI LA POLISI)

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad