HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, October 23, 2019

BENKI YA CRDB YAENDELEA KUWEKEZA KATIKA ELIMU, YAHUDHURIA MAHAFALI YA 53 SHULE YA SEKONDARI KIBAHA MKOANI PWANI

Mgeni Rasmi katika Mahafali ya 53 ya Shule ya Sekondari ya Kibaha ambaye pia ni Meneja wa Benki ya CRDB Kanda ya Mashariki, Cornell Meseyeck akikabidhi cheti kwa Mwanafunzi Winson Mahenge aliyeshika nafasi ya kwanza kitaaluma kwa wahitimu wa kidato cha nne katika Shule ya Sekondari ya Kibaha Mkoani Pwani, yaliyofanyika Oktoba 23, 2019 shuleni hapo. Benki ya CRDB ambayo imekuwa ikitumia kiasi kikubwa cha fedha kila mwaka kwa ajili ya kusaidia miradi mbalimbali ya elimu nchini, kama kuchangia vyumba vya madarasa, kuboresha mazingira ya shule ili kuhakikisha kuwa wanafunzi wanapata elimu katika mazingira yaliyo rafiki kwao, Imepongeza jitihada za kitaaluma zinazofanywa na shule hiyo pamoja na kuwasihi wanafunzi wanaohitimu kuwa bado safari yao kimasomo inaendelea kwani Benki inaimani ya kuwa wote watafaulu katika DARAJA LA KWANZA na kujiunga na kidato cha sita.
Mgeni Rasmi katika Mahafali ya 53 ya Shule ya Sekondari ya Kibaha ambaye pia ni Meneja wa Benki ya CRDB Kanda ya Mashariki, Cornell Meseyeck akikabidhi cheti kwa Mwanafunzi Akimu Christopher aliyeshika nafasi ya pili kitaaluma kwa wahitimu wa kidato cha nne katika Shule ya Sekondari ya Kibaha Mkoani Pwani, yaliyofanyika Oktoba 23, 2019 shuleni hapo.
Mgeni Rasmi katika Mahafali ya 53 ya Shule ya Sekondari ya Kibaha ambaye pia ni Meneja wa Benki ya CRDB Kanda ya Mashariki, Cornell Meseyeck akikabidhi cheti kwa Mwanafunzi Shaban Mussa aliyeshika nafasi ya tatu kitaaluma kwa wahitimu wa kidato cha nne katika Shule ya Sekondari ya Kibaha Mkoani Pwani, yaliyofanyika Oktoba 23, 2019 shuleni hapo.
Mgeni Rasmi katika Mahafali ya 53 ya Shule ya Sekondari ya Kibaha ambaye pia ni Meneja wa Benki ya CRDB Kanda ya Mashariki, Cornell Meseyeck akikabidhi zawadi kwa Mkuu wa Shule ya Sekondari ya Kibaha, Mwalimu Chrisdom Ambilikile.
Mgeni Rasmi katika Mahafali ya 53 ya Shule ya Sekondari ya Kibaha ambaye pia ni Meneja wa Benki ya CRDB Kanda ya Mashariki, Cornell Meseyeck akizungumza katika mahafali hayo, yaliyofanyika Oktoba 23, 2019 shuleni hapo.

Mkuu wa Shule ya Sekondari ya Kibaha, Mwalimu Chrisdom Ambilikile akizungumza.
































No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad