HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, September 25, 2019

RAIS MSTAAFU WA KISIWA CHA MAYOTTE AHUDHURIA KATIKA TAMASHA LA JAMAFEST JIJINI DAR ES SALAAM

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt Harrison Mwakyembe (wa tatu toka kushoto waliokaa) akiwa amekaa wakiangalia burudani ya ngoma na Rais Mstaafu wa Kisiwa Cha Mayotte (wa pili toka kushoto) Mhe. Ahmed Ahoomani Douchina na wageni aliombatana nao kuhudhuria Tamasha la Sanaa na Utamaduni la Jumuiya ya Afrika Mashariki linalojulikana kama JAMAFEST linalofanyika katika uwanja wa Taifa  Jijini Dar es Salaam, Tanzania  Septemba 21 - 28, 2019.
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt Harrison Mwakyembe (wa tatu toka kushoto waliokaa) akiteta jambo.
Kikundi cha Ngoma kutoka nchini Kenya kikiburudhisha katika Tamasha la Sanaa na Utamaduni la Jumuiya ya Afrika Mashariki linalojulikana kama JAMAFEST linalofanyika katika uwanja wa Taifa  Jijini Dar es Salaam, Tanzania  Septemba 21 - 28, 2019.
Kwaya ya Kinondoni Revival ya Tanzania ikitoa burudani katika Tamasha la Sanaa na Utamaduni la Jumuiya ya Afrika Mashariki linalojulikana kama JAMAFEST linalofanyika katika uwanja wa Taifa  Jijini Dar es Salaam, Tanzania  Septemba 21 - 28, 2019.
Ngoma ya Kibati kutoka Zanzibar, Tanzania ikirindima katika Tamasha la Sanaa na Utamaduni la Jumuiya ya Afrika Mashariki linalojulikana kama JAMAFEST linalofanyika katika uwanja wa Taifa  Jijini Dar es Salaam, Tanzania  Septemba 21 - 28, 2019.
Kikundi kutoka nchini Rwanda kikiburudisha katika Tamasha la Sanaa na Utamaduni la Jumuiya ya Afrika Mashariki linalojulikana kama JAMAFEST linalofanyika katika uwanja wa Taifa  Jijini Dar es Salaam, Tanzania  Septemba 21 - 28, 2019.
Kikundi cha taarabu kutoka Zanzibar, Tanzania kikiburudisha katika Tamasha la Sanaa na Utamaduni la Jumuiya ya Afrika Mashariki linalojulikana kama JAMAFEST linalofanyika katika uwanja wa Taifa  Jijini Dar es Salaam Septemba 21 - 28, 2019.
Kikundi cha watoto cha ngoma kutoka Tanzania kikitoa burudani katika Tamasha la Sanaa na Utamaduni la Jumuiya ya Afrika Mashariki linalojulikana kama JAMAFEST linalofanyika katika uwanja wa Taifa  Jijini Dar es Salaam, Tanzania  Septemba 21 - 28, 2019.
Kikundi cha ngoma toka Uganda kikitoa burudani katika Tamasha la Sanaa na Utamaduni la Jumuiya ya Afrika Mashariki linalojulikana kama JAMAFEST linalofanyika katika uwanja wa Taifa  Jijini Dar es Salaam, Tanzania  Septemba 21 - 28, 2019.
Wananchi wakipata burudani ya ngoma katika Tamasha la Sanaa na Utamaduni la Jumuiya ya Afrika Mashariki linalojulikana kama JAMAFEST linalofanyika katika uwanja wa Taifa  Jijini Dar es Salaam, Tanzania  Septemba 21 - 28, 2019.
Wasanii wa Kenya wakitoa burudani katika Tamasha la Sanaa na Utamaduni la Jumuiya ya Afrika Mashariki linalojulikana kama JAMAFEST linalofanyika katika uwanja wa Taifa  Jijini Dar es Salaam, Tanzania  Septemba 21 - 28, 2019.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad