HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, September 25, 2019

MAKAMU WA RAIS ASHIRIKI KUAGA MWILI WA MTOTO WA MKUU WA MAJESHI


Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akimfariji Mkuu wa Majeshi Nchini, Jenerali Vennas Mabeyo kutokana na kufiwa na Mtoto wake aliyepatata ajali ya ndege wakati Makamu wa Rais alipofika Nyumbani kwa Jenerali Mabeyo Msasani Jijini Dar es salaam leo sept 25,2019.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akimfariji Mke wa Mkuu wa Majeshi Nchini, Tina Mabeyo kutokana na kufiwa na Mtoto wake aliyepatata ajali ya ndege wakati Makamu wa Rais alipofika Nyumbani kwa Jenerali Mabeyo Msasani Jijini Dar es salaam leo sept 25,2019.
Baadhi ya waombolezaji.
Waziri wa Nchi ofisi ya makamu wa Rais muungano na mazingira, Georhe Simbachawene akimfariji Mkuu wa Majeshi Nchini, Venacne Mabeyo kutokana na kufiwa na Mtoto wake aliyepatata ajali ya ndege Nyumbani kwa Jenerali Mabeyo Msasani Jijini Dar es salaam leo sept 25,2019.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akisaini saini kitabu cha maombolezo mkufuatia kifo cha mtoto wa Mkuu wa Majeshi Nchini Jenerali Mabeyo kutokana na kufiwa na Mtoto wake aliyepatata ajali ya ndege wakati Makamu wa Rais alipofika Nyumbani kwa Jenerali Mabeyo Msasani Jijini Dar es salaam leo sept 25,2019.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akitoa heshima za Mwisho mbele ya Jeneza lenye Mwili wa Nelson Vennas Mabeyo Mtoto wa Mkuu wa Majeshi Nchini Jenerali Vennas Mabeyo aliyefariki kutokana na ajali ya Ndege, Hafla hiyo imefanyika leo Sept 25,2019 nyumbani kwa Jenerali Mabeyo Msasani Jijini Dar es salaam.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda wakitoka katika Msiba wa mtoto wa Mkuu wa Majeshi aliyefariki dunia kwa ajali ya ndege.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad