HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, September 12, 2019

MAFUNZO YA MAPISHI NA UKARIMU KUFANYIKA ZANZIBAR

 Makamo Meneja Mkuu wa Taasisi ya China NATIONAL RESEARCH INSITITUTE OF FOOD AND FERMENTATION INDUSTIES COPORATION LTD Bw.Dong Wei Hong akitoa taarifa ya mafunzo kwa mgeni rasmi Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Issa Haji Ussi (Gavu) leo katika Ufunguzi wa Mafunzo ya Upishi na Ukarimu yatayoendeshwa na Wakufunzi kutoka Serikali ya Jamhuri ya Watu wa China katika ukumbi wa Idris Abduwakil Kikwajuni Mjini Zanzibar,[Picha na Ikulu.] 11/09/2019.
 Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Issa Haji Ussi (Gavu) alipokuwa akifungua Mafunzo ya Upishi na Ukarimu kwa Taasisi za Serikali na Binafsi leo ambayo yatayoendeshwa na Wakufunzi kutoka Serikali ya Jamhuri ya Watu wa China katika ukumbi wa Idris Abduwakil Kikwajuni Mjini Zanzibar.

 Washiriki wa Mafunzo ya Upishi na Ukarimu kutoka Taasisi za Serikali na Binafsi wakimsikiliza Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Issa Haji Ussi (Gavu) (hayupo pichani) alipokuwa akifungua mafunzo hayo yatayoendeshwa na Wakufunzi kutoka Serikali ya Jamhuri ya Watu wa China,hafla iliyofanyika leo katika ukumbi wa Idris Abduwakil Kikwajuni Mjini Zanzibar
Balozi Mdogo wa Jamhuri ya Watu wa China aliyepo Zanzibar Mhe.XIE XIAOWU (kulia) akicheza ngoma ya Msewe iliyopigwa na kikundi cha Sanaa cha Taifa katika Ukumbi wa Idris Abduwakil Kikwajuni Mjini Zanzibar wakati wa ufunguzi wa mafunzo Mapishi na Ukarimu yaliyofunguliwa leo na kuendeshwa na Wakufunzi kutoka Serikali ya Jamhuri ya Watu wa China, [Picha na Ikulu.] 11/09/2019,

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad