HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, September 11, 2019

JKCI kufanya upanuzi wa katika eneo la Mloganzila

 Mkuu wa Wilaya ya Ubungo, Kisare Makori akizungumza na wajumbe kutoka Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) pamoja na wawakilishi kutoka China  Academy of Building Research waliofika ofisini kwake kwa ajili ya kupata taarifa zinazohusiana na utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa upanuzi wa JKCI wa awamu ya pili katika eneo la Mloganzila leo Jijini Dar es Salaam. Mradi huo ni miongoni mwa matunda ya ziara ya Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa aliyoifanya China mwaka 2018.
 Baadhi ya wajumbe kutoka Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) pamoja na wawakilishi kutoka China Academy of Building Research wakimsikiliza mkuu wa Wilaya ya Ubungo Mhe. Kisare Makori (hayupo pichani) wakati wa kikao kifupi kwa ajili ya kupata taarifa zinazohusiana na utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa upanuzi wa JKCI wa awamu ya pili katika eneo la Mloganzila leo Jijini Dar es Salaam.
 Baadhi ya wajumbe kutoka Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) pamoja na wawakilishi kutoka China Academy of Building Research wakiangalia ramani ya eneo la Mloganzila wakati wa kikao kifupi kwa ajili ya kupata taarifa zinazohusiana na utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa upanuzi wa JKCI wa awamu ya pili katika eneo la Mloganzila leo Jijini Dar es Salaam.
Mkuu wa Wilaya ya Ubungo Mhe. Kisare Makori katika picha ya pamoja na wajumbe kutoka Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) na wawakilishi kutoka China  Academy of Building Research waliofika ofisini kwake kwa ajili ya kupata taarifa zinazohusiana na utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa upanuzi wa JKCI wa awamu ya pili katika eneo la Mloganzila leo Jijini Dar es Salaam. Mradi huo ni miongoni mwa matunda ya ziara ya Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa aliyoifanya China mwaka 2018
Picha na: Genofeva Matemu - JKCI

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad