HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, September 27, 2019

Balozi wa Italia nchini Roberto Mengoni atembelea Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI)

Kaimu Mkurugenzi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Robert Mallya akimwelezea Balozi wa Italia nchini Mhe. Roberto Mengoni namna wodi mpya ya watoto wenye magonjwa ya moyo ilivyoongeza ufanisi wa matibabu kwa watoto wakati wa ziara iliyofanywa na balozi huyo ya kutembelea kambi maalum inayofanywa na madaktari bingwa wa magonjwa ya moyo kutoka JKCI na wenzao wa Shirika la Mending Kids International.
Balozi wa Italia nchini Tanzania Mhe. Roberto Mengoni akizungumza na mama Khayraty Suleiman ambaye mtoto wake anasubiri kufanyiwa upasuaji wa moyo wakati wa ziara iliyofanywa na balozi huyo ya kutembelea kambi maalum inayofanywa na madaktari bingwa wa magonjwa ya moyo kutoka Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) na wenzao wa Shirika la Mending Kids International.
Daktari bingwa wa wagonjwa wa moyo waliolazwa katika chumba cha uangalizi maalum (ICU) Vivian Mlawi akimwelezea Balozi wa Italia nchini Mhe. Roberto Mengoni maendeleo ya hali za wagonjwa waliofanyiwa upasuaji wakati wa ziara fupi iliyofanywa na balozi huyo ya kutembelea kambi maalum inayofanywa na madaktari bingwa wa magonjwa ya moyo kutoka Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) kwa kushirikiana na wenzao wa Shirika la Mending Kids International.
Daktari bingwa wa wagonjwa wa moyo waliolazwa katika chumba cha uangalizi maalum (ICU) Vivian Mlawi akimwelezea Balozi wa Italia nchini Mhe. Roberto Mengoni maendeleo ya hali za wagonjwa waliofanyiwa upasuaji wakati wa ziara fupi iliyofanywa na balozi huyo ya kutembelea kambi maalum inayofanywa na madaktari bingwa wa magonjwa ya moyo kutoka Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) kwa kushirikiana na wenzao wa Shirika la Mending Kids International. Katikati ni Kaimu Mkurugenzi wa Kurugenzi ya Upasuaji Dkt. Angela Muhozya.
Timu ya wataalamu wa afya kutoka nchini Italia na Marekani wa Shirika la Mending Kids International lenye wataalamu wa afya kutoka nchini Italia na Marekani wakiwa katika picha ya pamoja na Balozi wa Italia nchini Mhe. Roberto Mengoni wakati wa ziara fupi iliyofanywa na balozi huyo ya kutembelea kambi maalum inayofanywa na madaktari bingwa wa magonjwa ya moyo kutoka Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) kwa kushirikiana na wenzao wa Shirika la Mending Kids International.
Balozi wa Italia nchini Mhe. Roberto Mengoni akiwa katika picha ya pamoja na wafanyakazi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) na wenzao wa shirika la Mending Kids International mara baada ya kumalizika kwa huyo ya kutembelea kambi maalum inayofanywa na madaktari bingwa wa magonjwa ya moyo kutoka Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) kwa kushirikiana na wenzao wa Shirika la Mending Kids International mara baada ya kumalizika kwa ziara yake fupi ya kuona huduma mbalimbali za matibabu ya moyo zinazotolewa na JKCI.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad