HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, August 6, 2019

TIGO YASHIRIKI KWA KISHINDO MAONYESHO YA NANE NANE MKOANI ARUSHA

Wananchi wanaotembelea maonyenesho ya Kilimo na Mifugo ya Nane nane, kwenye viwanja vya Taso Njiro jijini Arusha, wakipata huduma za usajili wa kadi za simu za mtandao wa Tigo kwa kutumia alama za vidole na kununua simu janja katika banda lake la maonyesho lililopo kwenye maonyesho hayo.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad