HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, August 8, 2019

MAKAMU WA RAIS AFUNGA MAONESHO YA NANENANE MOROGORO

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akiangalia Bidhaa za aina mbalimbali wakati alipotembelea  mabanda ya Maonesho katika kilele cha Maadhimisho ya  Ufungaji wa Sikukuu ya Wakulima Nanenane Mkoani Morogoro leo Agost 08,2019.

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akipata maelezo kutoka kwa Mtaalam wa Shamba la Miwa Kilombero Mohamed Salum  wakati alipotembelea  mabanda ya Maonesho katika kilele cha Maadhimisho ya  Ufungaji wa Sikukuu ya Wakulima Nanenane Mkoani Morogoro leo Agost 08,2019.
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akimkabidhi Kombe Mshindi wa Ushiriki Bora katika Maadhimishi ya sikukuu ya wakulima Nanenane kwa Mwaka 2019 Kanali Aisha Matanzi wa JKT  wakati  wa Maadhimisho ya  Ufungaji wa Sikukuu ya Wakulima Nanenane Mkoani Morogoro leo Agost 08,2019.(Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais)

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad