Benki ya wakulima kuwafikishia huduma za kifedha kwa wakulima popote pale walipo nchini kupitia benki zao za Ushirika na Kibiashara kupitia mpango wa dhamana ya mikopo. Benki ya Maendeleo ya Kilimo (TADB) imewapatia wakulima wadogo dhamana ya mkopo yenye thamani ya shilingi billioni moja za kitanzania katika benki ya wananchi Tandahimba (TACOBA).
Wednesday, July 17, 2019

TADB KUWAFIKIA WATEJA WAKE KOKOTE WALIPO TANZANIA
Tags
# BIASHARA
# HABARI ZA BIASHARA
HABARI ZA BIASHARA
Labels:
BIASHARA,
HABARI ZA BIASHARA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment