HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, July 1, 2019

SPIKA NDUGAI AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA KAMISHNA DKT MAKAKALA JIJINI DODOMA

 Spika wa Bunge, Job Ndugai (kushoto) akimsikiliza Kamishna Jenerali wa Uhamiaji, Dkt. Anna Makakala alipomtembelea leo Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma.
 Spika wa Bunge, Job Ndugai (kulia) katika picha ya pamoja na Kamishna Jenerali wa Uhamiaji, Dkt. Anna Makakala alipomtembelea leo Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma.
Spika wa Bunge, Job Ndugai (kulia) akiagana na Kamishna Jenerali wa Uhamiaji, Dkt. Anna Makakala alipomtembelea leo Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma. (PICHA NA OFISI YA BUNGE)

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad