HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, July 22, 2019

Naibu Waziri Shonza Atembelea Programu ya Urithi wa Ukombozi wa Bara la Afrika

 Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Juliana Shonza (kulia) akisalimiana na mwenyeji wake Mratibu wa Programu ya Urithi wa Ukombozi wa Bara la Afrika Bi. Ingiaedi Mduma (kushoto) wakati Naibu Waziri huyo alipotembelea programu hiyo kujionea shughuli mbambali za utendaji kazi wa programu hiyo mapema hii leo Julai 22, 2019 Jijini Dar es Salaam.
 Mratibu wa Programu ya Urithi wa Ukombozi wa Bara la Afrika Bi. Ingiaedi Mduma (katikati) akifafanua jambo kwa Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Juliana Shonza (kulia) wakati Naibu Waziri huyo alipotembelea programu hiyo kujionea shughuli mbambali za utendaji kazi wa programu hiyo mapema hii leo Julai 22, 2019 Jijini Dar es Salaam, kushoto Afisa wa Programu hiyo Mayzuhura Simba.
 Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Juliana Shonza (kulia) akifafanua jambo kwa watumishi wa Programu ya Urithi wa Ukombozi wa Bara la Afrika wakati Naibu Waziri huyo alipotembelea programu hiyo kujionea shughuli mbambali za utendaji kazi wa programu hiyo mapema hii leo Julai 22, 2019 Jijini Dar es Salaam.
 Afisa wa Programu ya Urithi wa Ukombozi wa Bara la Afrika, Christopher Mhongole (kushoto) akifafanua jambo kwa Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Juliana Shonza (kulia) wakati Naibu Waziri huyo alipotembelea programu hiyo kujionea shughuli mbambali za utendaji kazi wa programu hiyo mapema hii leo Julai 22, 2019 Jijini Dar es Salaam.
 Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Juliana Shonza (kulia) akiangalia moja ya kitabu chenye picha mbalimbali za urithi wa ukombozi wa Bara la Afrika wakati Naibu Waziri huyo alipotembelea Programu ya Urithi wa Ukombozi wa Bara la Afrika kujioneashughuli mbambali za utendaji kazi wa programu hiyo mapema hii leo Julai 22, 2019 Jijini Dar es Salaam, kushoto ni Mratibu wa Programu hiyo Bi. Ingiaedi Mduma.
Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Juliana Shonza (kulia) akiangalia maendeleo ya ukarabati wa majengo ya Programu ya Urithi wa Ukombozi wa Bara la Afrika wakati Naibu Waziri huyo alipotembelea programu hiyo kujionea shughuli mbambali za utendaji kazi wa programu hiyo mapema hii leo Julai 22, 2019 Jijini Dar es Salaam.
Picha na WHUSM – DSM.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad