
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Eng. Isaack Kamwelwe. Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Mhe. Atashasta Nditiye. Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais (TAMISEMI) Mhe. Suleiman Jaffo wakishuhudia Mtendaji Mkuu wa TANROADS Eng. Patrick Mfugale wakiweka saini na Mkandarasi China Civil Engineering Construction Corporation (CCECC) Mkataba wa Mradi wa Ujenzi wa Darala la Kigongo-Busisi Mwanza wa Km 3.2 kusainiwa katika hafla iliyofanyika makao makuu ya Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) jijini Dar es salaam leo Julai 29, 2019
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Eng. Isaack Kamwelwe. Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Mhe. Atashasta Nditiye. Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais (TAMISEMI) Mhe. Suleiman Jaffo wakishuhudia Mtendaji Mkuu wa TANROADS Eng. Patrick Mfugale wakibadilishana nyaraka baada ya kuweka saini na Mkandarasi China Civil Engineering Construction Corporation (CCECC) Mkataba wa Mradi wa Ujenzi wa Darala la Kigongo-Busisi Mwanza wa Km 3.2 kusainiwa katika hafla iliyofanyika makao makuu ya Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) jijini Dar es salaam leo Julai 29, 2019.

Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Eng. Isaack Kamwelwe
akiongea kabla ya kusainiwa kwa Mkataba wa Mradi wa Ujenzi wa Darala
la Kigongo-Busisi Mwanza wa Km 3.2 katika hafla iliyofanyika makao
makuu ya Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) jijini Dar es salaam leo
Julai 29, 2019.

Mtendaji
Mkuu wa TANROADS Eng. Patrick Mfugale akiuelezea Mradi wa Ujenzi wa
Daraja la Kigongo-Busisi la Mwanza wa Km 3.2 kusainiwa katika hafla
iliyofanyika makao makuu ya Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) jijini Dar
es salaam leo Julai 29, 2019.
Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, John Mongela akizungumza katika hafla ya utiaji siani kwa Mradi wa Ujenzi wa Daraja la Kigongo-Busisi Mwanza wa Km 3.2 iliyofanyika makao makuu ya Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) jijini Dar es salaam leo Julai 29, 2019
Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Miundombinu Mhe. Hawa
Mchafu Chakoma katika hafla ya uwekaji saini Mkataba wa Mradi wa
Ujenzi wa Darala la Kigongo-Busisi Mwanza wa Km 3.2 kusainiwa katika
hafla iliyofanyika makao makuu ya Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA)
jijini Dar es salaam leo Julai 29, 2019.
Mbunge wa Geita Mhe Joseph Kasheku Msukuma akitoa shukrani kwa
serikali ya awamu ya Tano kwa Mradi wa Ujenzi wa Darala la
Kigongo-Busisi Mwanza wa Km 3.2 kusainiwa katika hafla iliyofanyika
makao makuu ya Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) jijini Dar es salaam
leo Julai 29, 2019
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Eng. Isaack Kamwelwe.
Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Mhe. Atashasta
Nditiye, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais (TAMISEMI) Mhe. Suleiman Jaffo,
Mtendaji Mkuu wa TANROADS Eng. Patrick Mfugale na wabunge wa Kanda ya
zaiwa katika picha ya pamoja na wawakilishi wa Mkandarasi China Civil
Engineering Construction Corporation (CCECC) Mkataba wa Mradi wa
Ujenzi wa Darala la Kigongo-Busisi Mwanza wa Km 3.2 kusainiwa katika
hafla iliyofanyika makao makuu ya Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA)
jijini Dar es salaam leo Julai 29, 2019
No comments:
Post a Comment