HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Sunday, July 7, 2019

MAKAMU WA RAIS AHUDHURIA UFUNGUZI WA MKUTANO WA 12 WA DHARURA WA AU

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan leo Julai 07,2019 amemuwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli kwenye ufunguzi rasmi wa mkutano wa 12 wa Dharura wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Umoja wa Afrika (AU) unaojadili masuala mbalimbali kuhusu Eneo Huru la Biashara Afrika (AFRICAN CONTINENRAL FREE TRADE AREA - AFCFTA) Mkutano huo unaofanyika mjini Niamey Nchini Niger umefunguliwa na Mwenyekiti wa Umoja wa Afrika AU Rais Abdel Fattah el Sisi wa Egypt. (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais).










No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad