HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, July 18, 2019

BODI YA URATIBU MASHIRIKA YASIYO YA KISERIKALI YAKUTANA YAJIDHATITI KATIKA KUSIMAMIA USAJILI NA URATIBU WA MASHIRIKA

 Mwenyekiti wa Bodi ya Uratibu wa Mashirika Yasiyo ya Kiserikali nchini Dkt. Faustine Sambaiga (kushoto) akifungua kikao cha 41 cha Bodi hiyo kilichokutana katika Ofisi ndogo za Wizara ya Afya jijini Dar es Salaam kwa lengo la kujadili mwenendo wa uratibu na usajili wa Mashirika Yasiyo ya Kiserikali nchini.
 Msajili na Mkurugenzi wa Idara ya Mashirika Yasiyo ya Kiserikali Bi. Vickness Mayao (wa kwanza kulia) ambaye pia ni Katibu wa Bodi ya NGO’s akisoma muhtasari wa kikao cha 41 cha Bodi hiyo kilichokutana katika Ofisi ndogo za Wizara ya Afya jijini Dar es Salaam kwa lengo la kujadili mwenendo wa uratibu na usajili wa Mashirika Yasiyo ya Kiserikali nchini.
 Wajumbe wa Bodi ya Mashrika Yasiyo ya Kiserikali wakifuatilia agenda mbalimbali katika kikao cha Bodi hiyo kilichokutana katika Ofisi ndogo za Wizara ya Afya jijini Dar es Salaam kwa lengo la kujadili mwenendo wa uratibu na usajili wa Mashirika Yasiyo ya Kiserikali nchini.


  Wajumbe wa Bodi ya Mashrika Yasiyo ya Kiserikali na Sekretarieti kutoka ofisi ya Msajili wa Mashirika Yasiyo ya Kiserikali wakifuatilia agenda mbalimbali kikao cha Bodi hiyo kilichokutana katika Ofisi ndogo za Wizara ya Afya jijini Dar es Salaam kwa lengo la kujadili mwenendo wa uratibu una usajili wa Mashirika Yasiyo ya Kiserikali nchini.
Baadhi ya wadau wa Mashirika Yasiyo ya Kiserikali wakipata huduma ya kusajili Mashirika yao katika zoezi linaloendeshwa na Msajili wa Mashirika Yasiyo ya Kiserikali kwa Kanda ya Mashariki katika Ofisi ndogo za Wizara ya Afya jijini Dar Es Salaam.

Picha zote na Kitengo cha Mawasiliano WAMJW

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad