HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, June 21, 2019

MATUKIO YA WAZIRI MKUU BUNGENI JIJINI DODOMA

 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Uwekezaji, Angela Kairuki, Bungeni jijini Dodoma Juni 20, 2019. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Mbunge wa Kigoma Mjini, Zitto Kabwe, Bungeni jijini Dodoma Juni 20, 2019. 
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mbunge wa Kigoma Mjini, Zitto Kabwe, Bungeni jijini Dodoma Juni 20, 2019. 
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt. Hamisi Kigwangalla, Bungeni jijini Dodoma, Juni 20, 2019. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad