HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, June 17, 2019

Klabu Ya Yanga Kupatiwa Uwanja Kigamboni

 Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda (kulia) akifafanua jambo kwa Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe (katikati) wakati Mkuu wa mkoa huyo alipokuwa akipokea nyaraka mbalimbali toka kwa viongozi wa Yanga ili kukamilisha ununuzi wa kiwanja cha klabu hiyo mapema hii leo jijini Dar es Salaam, kushoto ni Kaimu Katibu Mkuu wa klabu ya Yanga Bw. Omar Kaya.
 Baadhi ya viongozi wa klabu ya Yanga wakimsikiliza Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda (hayupo pichani) wakati Mkuu wa mkoa huyo alipokuwa akipokea nyaraka mbalimbali toka kwa viongozi hao ili kukamilisha ununuzi wa kiwanja cha klabu hiyo mapema hii leo jijini Dar es Salaam.
 Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda (kulia) akipokea baadhi ya nyaraka toka Mwenyekiti wa klabu ya Yanga Dkt. Mshindo Msolla ili kukamilisha ununuzi wa kiwanja cha klabu hiyo mapema hii leo jijini Dar es Salaam, wanaoshuhudia ni Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe (wa pili kulia) na Kaimu Katibu Mkuu wa klabu ya Yanga Bw. Omar Kaya.
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe (katikati) akiwapongeza viongozi wa klabu ya Yanga (hawapo pichani)  kwa hatua waliyofikia katika ununuzi wa uwanja, kulia Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda na kushoto ni Kaimu Katibu Mkuu wa klabu ya Yanga Bw. Omar Kaya.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad