HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, May 7, 2019

Wabunge wafanya usajili kwa kutumia alama za vidole

Mbunge wa Viti Maalum, Sonia Magogo akiwa katika meza ya usajili wa laini za simu za Airtel kwa kutumia alama za vidole, katika viwanja vya Bunge jijini Dodoma.
Mbunge wa Viti Maalum, Anna Gidaria akiwa katika meza ya usajili wa laini za simu za Airtel kwa kutumia alama za vidole, katika viwanja vya Bunge jijini Dodoma.
Wabunge wakiwa katika meza ya usajili wa laini za simu za Airtel kwa kutumia alama za vidole, katika viwanja vya Bunge jijini Dodoma.
Wabunge wakiwa katika meza ya usajili wa laini za simu za Airtel kwa kutumia alama za vidole, katika viwanja vya Bunge jijini Dodoma.
Mbunge wa Mikumi, Joseoh Haule (kulia) na Mbunge wa Musoma Vijijini, Prof. Sospeter Muhongo wakiwa katika meza ya usajili wa laini za simu za Airtel kwa kutumia alama za vidole, katika viwanja vya Bunge jijini Dodoma. (Picha na Airtel).
Mbunge wa Mikumi, Joseoh Haule (kulia) na Mbunge wa Musoma Vijijini, Prof. Sospeter Muhongo na Mbunge wa Kilolo, Venance Mwamoto (kushoto) wakiwa katika meza ya usajili wa laini za simu za Airtel kwa kutumia alama za vidole, katika viwanja vya Bunge jijini Dodoma. (Picha na Airtel).

Spika wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai akiwa kwenye banda la Kampuni ya simu ya Airtel lililopo katika viwanja vya Bunge jijini Dodoma kwaajili ya kusajili laini kwa alama za vidole. (Picha na Airtel).

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad