HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, May 8, 2019

Spika Ndugai Ahamasisha Wananchi Kusajili Upya Laini Zao za Simu

 Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai (kulia) na Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), Mhandisi James Kilaba wakiwasili katika vwanja vya Bunge kukagua maendeleo ya zoezi la Usajili Mpya wa Simu kwa kutumia akitembelea baadhi ya mabanda ya wadau wa Mawasiliano ya Simu katika viwanja vya katika zoezi la Usajili Upya wa Laini za Simu kutumia Kitambulisho cha Taifa liloratibiwa na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) kwa kushirikisha Kampuni za simu Bunge leo jijini Dodoma. 
 Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai akitembelea baadhi ya mabanda ya wadau wa Mawasiliano ya Simu katika viwanja vya Bunge leo jijini Dodoma katika zoezi la Usajili Upya wa Laini za Simu kutumia Kitambulisho cha Taifa liloratibiwa na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) kwa kushirikisha Kampuni za simu. Kulia ni Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Uchukuzi na Mawasiliano), Mhandisi Atashasta Nditiye.

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai akichukuliwa alama ya kidole alipotembelea moja ya mabanda ya Kampuni za Simu na Kusajili Laini katika viwanja vya Bunge leo jijini Dodoma katika zoezi la Usajili Upya wa Laini za Simu kutumia Kitambulisho cha Taifa liloratibiwa na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) kwa kushirikisha Kampuni za simu. Kulia ni Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Uchukuzi na Mawasiliano), Mhandisi Atashasta Nditiye. 
 Baadhi ya Wabunge na Wafanyakazi wa Bunge wakisikiliza maelezo kutoka kwa mmoja wa wafanyakazi wa TTCL walipotembelea Banda la Kampuni hiyo katika viwanja vya Bunge leo jijini Dodoma katika zoezi la Usajili Upya wa Laini za Simu kutumia Kitambulisho cha Taifa liloratibiwa na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) kwa kushirikisha Kampuni za simu. 

 Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mbunge wa Iramba Mashariki, Lameck Mwigulu Nchemba(MB), akisajili laini alipotembelea moja ya mabanda ya Kampuni za Simu na Kusajili Laini katika viwanja vya Bunge leo jijini Dodoma katika zoezi la Usajili Upya wa Laini za Simu kutumia Kitambulisho cha Taifa liloratibiwa na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) kwa kushirikisha Kampuni za simu. Kulia ni Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Uchukuzi na Mawasiliano), Mhandisi Atashasta Nditiye.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad