HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, May 29, 2019

RAIS DKT.MAGUFULI WA TANZANIA NA MWENYEJI WAKE RAIS MNANGAGWA WA ZIMBABWE WAZUNGUMZA NA WAANDISHI WA HABARI IKULU JIJINI HARARE NCHINI ZIMBABWE

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.John Pombe Magufuli akiwa na mwenyeji wake Rais wa Zimbabwe Mhe.Emmerson Mnangagwa walipokuwa wakizungumza na waandishi wa habari hawapo pichani kuhusu waliyojadiliana baina ya Serikali za nchi zote mbili.
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.John Pombe Magufuli akiwa katika picha na mwenyeji wake Rais wa Zimbabwe Emmerson Mnangagwa pamoja na waandishi wa habari wa Zimbabwe na Tanzania mara baada ya kuzungumza nao Ikulu ya Harare Nchini Zimbabwe.
Picha na Ikulu

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad