HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, May 22, 2019

RAIS DKT. SHEIN AKUJUMUIKA NA WANANCHI KATIKA FUTARI ALIOWAANDALIA CHUO CHA AMALI MKOKOTONI

 RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akisalimiana na Mwakilishi wa Jimbo la Tumbatu na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa, Serikali za Mitaa na Idara Maalum za SMZ.Mhe Haji Omar Kheri, alipowasili katika viwanja vya Chuo Cha Amali Mkokotoni Mkoa wa Kaskazini Unguja.21-5-2019.
 WANANCHI wa Mkoa wa Kaskazini Unguja wakijumuika na Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein, katika futari ilioandaliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, katika ukumbi wa Chuo cha Amali Mkokotoni Unguja.(Picha na Ikulu)
 MKE wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein, akijumuika na Wananchi wa Mkoa wa Kaskazini Unguja katika futari ilioandaliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe, Dk. Ali Mohamed Shein, katika ukumbi wa Chuo cha Amali Mkokotoni.(Picha na Ikulu)
 RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akijumuika na Wananchi wa Mkoa wa Kaskazini Unguja katika futari Maalum aliyowaandalia katika ukumbi wa Chuo cha Amali Mkokotoni kulia Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Balozi Seif Ali Iddi na kushoto Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini Unguja Mhe Vuai Mwinyi
 WANANCHI wa Mkoa wa Kaskazini Unguja wakijumuika katika Futari Maalum walioandaliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, katika ukumbi wa Chuo cha Amali Mkokotoni Mkoa wa Kaskazini Unguja.
 MKUU wa Mkoa wa Kaskazini Unguja Mhe. Vuai Mwinyi akitowa shukrani kwa Wananchi wa Mkoa wa Kaskazini baada ya kumalizika hafla ya Futari ilioandaliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, katika ukumbi wa Chuo cha Amali Mkokotoni Mkoa wa Kaskazini Unguja.
  RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akiitikia dua baada ya kumalizika kwa hafla hiyo ya futari iliofanyika Mkoa wa Kaskazini Unguja, kulia Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe.Balozi Seif Ali Iddi na Mwakilishi wa Jimbo la Tumbatu na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa na Idara Maalum za SMZ.Mhe. Haji Omar Kheri na kushoto Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini Unguja Mhe Vuai Mwinyi na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Issa Haji Gavu.
 WANANCHI wa Mkoa wa Kaskazini Unguja wakiitikia dua baada ya kumalizika kwa hafla ya futari iliofanyika katika ukumbi wa Chuo cha Amali Mkokotoni Mkoa wa Kaskazini Unguja.(Picha na Ikulu)


 MKE wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein, akisalimiana na kuagana na Wananchi wa Mkoa wa Kaskazini Unguja baada ya kumalizika kwa hafla ya futari iliofanyika katika ukumbi wa Chuo cha Amali Mkokotoni Unguja.(Picha na Ikulu)

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akisalimiana na kuagana na Wananchi wa Mkoa wa Kaskaziuni Unguja baada ya kumaliza futari aliyowaandalia katika ukumbi wa Chuo cha Amali Mkokotoni Mkoa wa Kaskazini Unguja.(Picha na Ikulu)

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad