HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, May 3, 2019

RAIS DKT. MAGUFULI AWEKA JIWE LA MSINGI UPANUZI WA KIWANDA CHA SARUJI CHA MBEYA MKOANI SONGWE






 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na wananchi wa Songwe wakati akielekea kwenye kiwanda cha Saruji cha Mbeya ambapo aliweka jiwe la msingi la upanuzi wa kiwanda hicho.

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akivuta utepe kuashiria upanuzi wa Kiwanda cha Saruji cha Mbeya kilichopo Songwe.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiangalia Saruji inayotengenezwa na kiwanda cha Saruji cha Mbeya kilichopo Songwe. PICHA NA IKULU

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad