HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, April 10, 2019

WABUNGE WA UGANDA WAFANYA ZIARA BUNGENI DODOMA

 Naibu Spika wa Bunge Dkt. Tulia Ackson akizungumza jambo na Mkuu wa Msafara wa Wabunge na Watumishi wa Bunge la Uganda na Mnadhimu Mkuu wa Upinzani wa Bunge hilo Ssemujju Ibrahim Ofisini kwake Jijini Dodoma hii leo. 
 Naibu Spika wa Bunge Dkt. Tulia Ackson akizungumza jambo na Ujumbe wa Wabunge na Watumishi wa Bunge la Uganda waliopo ziarani hapa nchini Ofisini kwake Jijini Dodoma hii leo. 
Naibu Spika wa Bunge Dkt. Tulia Ackson akiwa katika picha ya pamoja na Ujumbe wa Wabunge na Watumishi wa Bunge la Uganda waliomtembelea Ofisini kwake Jijini Dodoma hii leo. (Picha na Ofisi ya Bunge)

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad