HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, April 29, 2019

UCSAF YAZINDUA CLUB ZA ICT SHULE ZA SEKONDARI DODOMA, MSALATO

Naibu Waziri wa Mawasilono na Uchukuzi, Atashasta Nditiye (kulia) akifurahia jambo baada ya kutazama kazi iliyofanywa na mwanafunzi wa Dodoma Sekondari wakati akizindua Club ya ICT na Maabara ya Kompyuta sjuleni hapo ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya Miaka 10 ya Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (UCSAF). UCSAF wamekabidhi kompyuta 10 katika maabara hiyo. 
 Naibu Waziri wa Uchukuzi na Mawasiliano, Atashasta Nditiye (katikati) akikata utepe kuzindua maabara ya Compyuta na ICT Club katika Shule ya Sekondari Dodoma ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya miaka 10 ya Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (UCSAF) yanayofanyika Mkoani Dodoma kitaifa. Wengine pichani toka kulia ni Makamu Mkuu wa Shule, Naibu Katibu Mkuu, Mawasiliano, Dk Jim Yonazi , Mtendaji Mkuu wa UCSAF,  Peter Ulanga, Mwenyekiti wa Bodi ya CSAF, Joseph Kilongola,  Mwalimu Mkuu Dodoma Sekondari, na Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi na Mawasiliano, Dk. Maria Sasabo pamoja na watumishi wa UCSAF na walimu .UCSAF imetoa wamekabidhi Computa 10 kwa shule hiyo. 
 Naibu Waziri wa Uchukuzi na Mawasiliano, Atashasta Nditiye (kulia) akiangalia mwanafunzi wa shule ya Sekondari Msalato wakitumia maabara ya Computa baada ya kuzindia maabara hiyo jijini Dodoma jana ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya miaka 10 ya UCSAF ambao ndio wamekabidhi Computa 10 kwa shule hiyo

 Naibu Katibu Mkuu wa Mawasilino na Uchukuzi, Dk. Jim Yonazi akiangaklia kazi iliyofanywa na mwanafunzi wa Sekondari ya Msalato. 
 Naibu Waziri wa Uchukuzi na Mawasiliano, Atashasta Nditiye (kulia) na Mtendaji Mkuu wa Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (UCSAF) Peter Ulanga wakiangalia wanafunzi wa shule ya Sekondari Msalato wakitumia maabara ya Computa baada ya kuzindia maabara hiyo jijini Dodoma jana ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya miaka 10 ya UCSAF ambao ndio wamekabidhi Computa 10 kwa shule hiyo
 Naibu Waziri wa Mawasilono na Uchukuzi, Atashasta Nditiye akizungumza na na wanafunzi wa Sekondari ya Msalato.  
 Naibu Waziri wa Mawasilono na Uchukuzi, Atashasta Nditiye akiangalia kazi za wanafunzi katika maabara hiyo. 
 Wanafunzi wakiwa maabara ya Compyuta 
 Mtendaji Mkuu wa UCSAF, Peter Ulanga akizungumza
 Naibu Waziri wa Mawasilono na Uchukuzi, Atashasta Nditiye akizungumza na kusisitiza umuhimi wa matumizi sahihi ya TEHAMA katika kufikia uchumi wa kati. 
 Wanafunzi wa kidato cha sita wanaosoma masomo ya Sayansi Dodoma Sekondari wakifuatilia hotuba za viongozi 
 Naibu Waziri wa Uchukuzi na Mawasiliano, Atashasta Nditiye (kushoto) akiteta jambo na Mtendaji Mkuu wa Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (UCSAF),  Peter Ulanga (kulia) na Mwenyekiti wa Bodi ya CSAF, Joseph Kilongola, wakati wa hafla hiyo Dodoma Sekondari.
Picha ya pamoja 

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad