HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, April 30, 2019

RAIS DKT. MAGUFULI AFUNGUA MAJENGO MAPYA YA CHUO CHA UALIMU MPUGUSO WILAYANI RUNGWE PIA AZUNGUMZA NA WANANCHI WA TUKUYU MKOANI MBEYA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akivuta utepe pamoja na viongozi wengine kuashiria uwekaji wa jiwe la msingi ujenzi wa Majengo mapya ya Chuo cha Ualimu Mpuguso Rungwe mkoani Mbeya.
. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na wananchi wa Kyela mkoani Mbeya.


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na wananchi wa Rungwe hawaonekani pichani wakati akielekea Chuo cha Ualimu Mpuguso kilichopo Rungwe mkoani Mbeya.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwasalimia wananchi wa Mpuguso Rungwe mkoani Mbeya mara baada ya kuweka jiwe la msingi msingi ujenzi wa Majengo mapya ya Chuo cha Ualimu Mpuguso.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiimba pamoja na wananchi waliokusanyika katika viwanja vya chuo cha Ualimu Mpuguso mara baada ya kuwasili chuoni hapo.
Wananchi wa Rungwe mkoani Mbeya wakimsikiliza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli wakati aliposimama kuwasalimia kabla ya kwenda Chuo cha Ualimu Mpuguso. 


 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na wananchi wa Tukuyu Wilayani Rungwe wakati akielekea Mbeya mjini. PICHA NA IKULU

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad