HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, March 26, 2019

YAMETIMIA NI RASMI JENGO LA WIZARA YA ARDHI LAKAMILIKA MJI WA SERIKALI IHUMWA DODOMA

 Sura ya halisi ya Jengo la Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi baada ya kukamilika rasmi katika mji wa Serikali Ihumwa mkoani Dodoma. Jengo hilo limejengwa na Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) kupitia kampuni yake ya ujenzi.
 Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula akiwa nje ya jengo la Wizara yake katika mji wa Serikali wa Ihumwa mkoani Dodoma alipotembelea leo tarehe 26 Machi 2019 kufuatia kukamilika ujenzi wake. Kushoto ni Mhandisi wa ujenzi wa jengo hilo kutoka Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) Grace Musita.
 Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula akioongozwa na Mhandisi wa ujenzi wa jengo la Wizara kutoka Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) Grace Musita (Kushoto) leo tarehe 26 Machi 2019 alipotembelea kufuatia kukamilika ujenzi wa Ofisi za Wizara katika Mji wa Serikali Ihumwa Dodoma.
 Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula akiooneshwa moja ya kazi zilizofanywa na Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) katika ujenzi wa jengo la Wizara na Mhandisi wa ujenzi Grace Musita alipotembelea kujionea kukamilika kwa ujenzi wa jengo hilo katika mji wa Serikali Ihumwa Dodoma leo tarehe 26 Machi 2019.
 Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula akiooneshwa eneo la Makatibu Muhtasi wa ofisi ya Waziri na Mhandisi wa Ujenzi wa Jengo la Wizara ya Ardhi kutoka Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) Grace Musita alipotembelea kujionea kukamilika kwa ujenzi wa jengo hilo kwenye Mji wa Serikali Ihumwa Dodoma leo tarehe 26 Machi 2019.

 Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula akiooneshwa eneo la kunawia maji katika moja ya maliwato ya ofisi ya Waziri na Mhandisi wa Ujenzi wa jengo la Wizara ya Ardhi kutoka Shirika la NHC Grace Musita alipotembelea kujionea kukamilika kwa ujenzi wa jengo hilo katika mji wa Serikali Ihumwa Dodoma leo tarehe 26 Machi 2019.
 Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula akipata maelezo kutoka kwa Mhandisi wa Ujenzi wa jengo la Wizara ya Ardhi kutoka Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) Grace Musita nje ya jengo alipotembelea kujionea kukamilika kwa ujenzi wa jengo hilo katika mji wa Serikali Ihumwa Dodoma leo tarehe 26 Machi 2019.
 Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula akizungumza na akina mama wanaofanya usafi kwenye majengo ya Wizara yaliyopo katika Mji wa Serikali Ihumwa alipotembelea kujionea kukamilika kwa ujenzi wa jengo la Wizara ya Ardhi katika mji wa Serikali Ihumwa mkoani Dodoma leo tarehe 26 Machi 2019.(PICHA ZOTE NA MUNIR SHEMWETA-WIZARA YA ARDHI)

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad