HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, March 22, 2019

SPIKA NDUGAI AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA GAVANA WA BENKI KUU YA TANZANIA JIJINI DODOMA

 Spika wa Bunge,  Job Ndugai (kushoto) akimkaribisha Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BOT), Prof. Florens Luoga alipomtembelea leo tarehe 22 Machi, 2019 Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma.

 Spika wa Bunge, Job Ndugai (kushoto) akizungumza na Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BOT), Prof. Florens Luoga (wa pili kushoto) alipomtembelea leo tarehe 22 Machi, 2019 Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma. Kuanzia kulia ni Msaidizi wa Gavana, Dkt. Nguling’wa Balele, Meneja Uhusiano na Itifaki Benki Kuu ya Tanzania, Ndg. Zaria Mbeo na Kaimu Mkurugenzi wa Benki Kuu ya Tanzania Tawi la Dodoma, Ndg. Harry Mwansembo.
 Spika wa Bunge, Job Ndugai (kushoto) akimsikiliza Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BOT), Prof. Florens Luoga (kulia) alipomtembelea leo tarehe 22 Machi, 2019 Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma. Wa pili kulia ni Kaimu Mkurugenzi wa Benki Kuu ya Tanzania Tawi la Dodoma, Ndg. Harry Mwansembo na Meneja Uhusiano na Itifaki Benki Kuu ya Tanzania, Ndg. Zaria Mbeo
 Spika wa Bunge, Job Ndugai (kulia) akiwa katika picha ya pamoja na Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BOT), Prof. Florens Luoga alipomtembelea leo tarehe 22 Machi, 2019 Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma.
 Spika wa Bunge, Job Ndugai (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na ugeni kutoka Benki Kuu ya Tanzania (BOT) ulioongozwa na Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BOT), Prof. Florens Luoga (wa pili kushoto) walipomtembelea leo tarehe 22 Machi, 2019 Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma. Kushoto ni Msaidizi wa Gavana, Dkt. Nguling’wa Balele, Meneja Uhusiano na Itifaki Benki Kuu ya Tanzania, Ndg. Zaria Mbeo na Kaimu (wa pili kulia) na Mkurugenzi wa Benki Kuu ya Tanzania Tawi la Dodoma, Ndg. Harry Mwansembo.
Spika wa Bunge,  Job Ndugai (kulia) akiagana na Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BOT), Prof. Florens Luoga alipomtembelea leo tarehe 22 Machi, 2019 Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma.

(PICHA NA OFISI YA BUNGE)

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad