HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, March 15, 2019

IGP SIRRO AAHIDI KUENDELEA KUSHIRIKIANA NA KENYA KWENYE MASUALA YA USALAMA

 Mkuu wa Jeshi la Polisi IGP Simon Sirro akisalimiana na balozi wa Kenya nchini Tanzania Dan kazungu leo wakati alipomtembelea ofisini kwake Makao Makuu ya Jeshi hilo kwa lengo la kujitambulisha ambapo kwa pamoja wamekubaliana kuendelea kushirikiana kwenye masuala ya kiusalama baina ya nchi hizo mbili. Picha na Jeshi la Polisi
Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro akimsikiliza Balozi wa Kenya nchini Tanzania Dan Kazungu leo tarehe 15/03/2019, wakati alipomtembelea ofisini kwake Makao Makuu ya Jeshi hilo jijini Dar es Salaam kwa lengo la kujitambulisha ambapo kwa pamoja wamekubaliana kuendelea kushirikiana kwenye masuala ya kiusalama baina ya nchi hizo mbili.Picha na Jeshi la Polisi

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad