HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, February 7, 2019

SPIKA NDUGAI AKUTANA NA VIONGOZI CHAMA CHA WAMILIKI WA MAKAMPUNI YA KITALII TANZANIA

 Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (kushoto) akizungumza na viongozi kutoka Chama cha wamiliki wa Makampuni ya kitalii Tanzania walipomtembelea leo tarehe 7 Februari, 2019 ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma.
 Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (kushoto) akimsikiliza Mjumbe Bodi ya wadhamini Chama cha wamiliki wa Makampuni ya kitalii Tanzania, Ndg. Merywn Nunes (katikati) walipomtembelea leo tarehe 7 Februari, 2019 ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma. Kulia ni Makamu Mwenyekiti Chama cha wamiliki wa Makampuni ya kitalii Tanzania, Ndg. Henry kimambo
 Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (wa tatu kushoto) akimsikiliza Mhe. Immaculate Semesi (aliesimama) wakati walipokutana na viongozi Chama cha wamiliki wa Makampuni ya kitalii Tanzania leo tarehe 7 Februari, 2019 ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma.
 Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (kulia) katika picha ya pamoja na Mjumbe Bodi ya wadhamini Chama cha wamiliki wa Makampuni ya kitalii Tanzania, Ndg. Merywn Nunes alipomtembelea leo tarehe 7 Februari, 2019 ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma.
Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (mwenye tai) katika picha ya pamoja na viongozi kutoka Chama cha wamiliki wa Makampuni ya kitalii Tanzania walipomtembelea leo tarehe 7 Februari, 2019 ofisini kwke Bungeni Jijini Dodoma.

(PICHA NA DEONISIUS SIMBA - OFISI YA BUNGE)

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad