HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, February 13, 2019

RAIS DKT.SHEIN AFANYA MAJUMUISHO YA ZIARA YAKE WILAYA YA MJINI UNGUJA

 MWENYEKITI wa CCM Wilaya ya Mjini Unguja Kichama Ndg. Juma Faki, akizungumza wakati wa mkutano na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi  Dk. Ali Mohamed Shein, wakati wa majumuisho ya ziara yake katika Wilaya ya Mjini Unguja kutembelea Miradi ya Maendeleo ilioko katika Wilaya hiyo majumuisho hayo yamefanyika katika ukumbi wa Kiwanja cha Watoto Kariakoo Zanzibar.(Picha na Ikulu)
 MKUU wa Wilaya  ya Mjini Unguja Bi. Marinev Joe Thomas, akisoma taarifa ya utekelezaji ya Wilaya ya Mjini wakati wa Mkutano wa Majumuisho ya ziara ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, yaliofanyika katika ukumbi wa kiwanja cha Watoto Kariakoo Zanzibar.(Picha na Ikulu)
 RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, akisoma Taarifa ya Utekelezaji ya Wilaya ya Mjini Unguja baada ya kukabidhiwa na Mkuu wa Wilaya ya Mjini Unguja Bi. Marine Joe Thomas, wakati wa mkutano wa majumbuisho ya ziara yake katika Wilaya ya Mjini Unguja .
 WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala zac Mikoa na Serikali za Mitaa na Idara Maalum za SMZ. Haji Omar Kheri, akizungumza wakati wa mkutano wa Majumuisho ya Ziara ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, yaliofanyika katika ukumbi wa kiwanja cha Watoto kariakoo Zanzibar.
 RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, akihutubia wakati wa Majumuisho ya ziara yake katika Wilaya ya Mjini Unguja katika ukumbi wa Kiwanja cha Watoto Kariakoo Zanzibar, baada ya kumaliza ziara yake katika Wilaya hiyo.(Picha na Ikulu)
 BAADHI ya Mawaziri wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar wakifuatilia hutuba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, akihutubia wakati wa mkutano wake wa majumuisho ya ziara yake katika Wilaya ya Mjini Unguja, uliofanyika katika ukumbi wa Kiwanja cha Watoto Kariakoo Zanzibar.
 BAADHI ya Makamanda wa Vyombo vya Ulinzi na Usalama katika Wilaya ya Mjini Unguja wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, akihutubia wakati wa majumuisho ya ziara yake katika Wilaya ya Mjini yaliofanyika katika ukumbi wa kiwanja cha watoto kariakoo Zanzibar.
 BAADHI ya Masheha wa Wilaya ya Mjini Unguja wakifuatilia hutuba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamedv Shein,wakati wa mkutano wake wa Majumuisho uliofanyika katika ukumbi wa kariakoo baada ya kumaliza ziara yake katika Wiala ya Mjini Unguja.
MKUU wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja Ayoub Mohammed Mahmoud akizungumza na kutowa neno la shukrani kwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, wakati wa mkutano wa majumuishoi ya ziara yake katika Wilaya ya Mjini Unguja.(Picha na Ikulu)  

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad