HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, February 27, 2019

KATIBU MKUU UJENZI ATEMBELEA TEMESA NA KUKAGUA VIFAA VIPYA VYA KARAKANA

Katibu Mkuu Wizara ya Ujenzi Uchukuzi na Mawasiliano (Sekta ya Ujenzi) Arch. Elius Mwakalinga wa kwanza kushoto akipewa maelezo na Mkurugenzi wa Uzalishaji na Matengenezo Mhandisi Sylvester Simfukwe kuhusu vifaa vipya vya karakana vilivyonunuliwa na Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA) kwa ajili ya kusambazwa kwenye karakana zake mikoani, wa pili kushoto ni Mtendaji Mkuu wa Wakala huo Mhandisi Japhet Y. Maselle.
Mkurugenzi wa Uzalishaji na Matengenezo kutoka Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA) Mhandisi Sylvester Simfukwe kulia akimpa maelezo Katibu Mkuu Wizara ya Ujenzi Uchukuzi na Mawasiliano (Sekta ya Ujenzi) Arch. Elius Mwakalinga katikati kuhusu mashine mpya za karakana zilizonunuliwa na Wakala huo kwa ajili ya kusambazwa kwenye karakana zake mikoani. Kushoto ni Mtendaji Mkuu wa Wakala huo Mhandisi Japhet Y. Maselle.
Katibu Mkuu Wizara ya Ujenzi Uchukuzi na Mawasiliano (Sekta ya Ujenzi) Arch. Elius Mwakalinga wa tatu kulia akipewa maelezo na Mkurugenzi wa Uzalishaji na Matengenezo TEMESA Mhandisi Sylvester Simfukwe kushoto kuhusu mashine mpya ya kukagua gari na kupima uwiano wa matairi ya magari (3D Wheel Allignment) iliyonunuliwa na kufungwa katika karakana ya Mt. Depot Keko jijini Dar es Salaam, wa kwanza kulia ni Mtendaji Mkuu wa Wakala huo Mhandisi Japhet Y. Maselle na Meneja wa karakana hiyo Mhandisi Alex William.
Katibu Mkuu Wizara ya Ujenzi Uchukuzi na Mawasiliano (Sekta ya Ujenzi) Arch. Elius Mwakalinga wa nne kulia akizungumza jambo na Mkurugenzi wa Uzalishaji na Matengenezo TEMESA Mhandisi Sylvester Simfukwe kushoto kuhusu mashine ya kukagua gari na kupima uwiano wa matairi ya magari (3D Wheel Allignment) iliyonunuliwa na kufungwa katika karakana ya Mt. Depot Keko jijini Dar es Salaam, wa pili kulia ni Mtendaji Mkuu wa Wakala huo Mhandisi Japhet Y. Maselle na Meneja wa karakana hiyo Mhandisi Alex William.
Katibu Mkuu Wizara ya Ujenzi Uchukuzi na Mawasiliano (Sekta ya Ujenzi) Arch. Elius Mwakalinga wa pili kulia akifurahia jambo na mafundi wa karakana ya Mt. Depot mara baada ya kumaliza kukagua karakana hiyo, wa kwanza kulia ni Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA) Mhandisi Japhet Y. Maselle.
PICHA ZOTE NA ALFRED MGWENO - (TEMESA)

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad