HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, February 18, 2019

BENKI YA CRDB YAKABIDHI MADARASA MAWILI NA MADAWATI SHULE YA MSINGI USA RIVER, JIJINI ARUSHA

Waziri wa Mambo ya Ndani, Kangi Lugola (katikati) akishirikiana na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Benki ya CRDB, Ally Laay (wa pili kushoto), Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela (wa pili kulia), Mkuu wa Wilaya ya Arumeru, Jerry Muro pamoja na Mkuu wa Shule ya Msingi Usa River, Mwalimu Abdul kukata utepe wakati wa ufunguzi rasmi wa madarasa mawili katika shule ya msingi Usa River, yaliyojengwa kwa ufadhili wa Benki ya CRDB, kwa gharama ya kiasi cha shilingi milioni sitini (60 milioni) yaliyojumuishwa pamoja na madawati, wakati wa hafla ya ufunguzi iliyofanyika mwishini mwa wiki, Wilayani Arumeru jijini Arusha.
Sasa imefunguliwa rasmi na tayari kwa kutumiwa kwa mafunzo ya wanafunzi wa Shule ya Msingi Usa River.
Waziri wa Mambo ya Ndani, Kangi Lugola akishirikiana na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Benki ya CRDB, Ally Laay (wa pili kulia) kufungua kitambaa kwenye jiwe la msingi wakati wa hafla ya ufunguzi wa madarasa mawili katika shule ya msingi Usa River, yaliyojengwa kwa ufadhili wa Benki ya CRDB, iliyofanyika mwishoni mwa wiki, Wilayani Arumeru, jijini Arusha. Kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela.
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela akizungumza machache kabla ya kumkabidhi rasmi, Waziri wa Mambo ya Ndani, Kangi Lugola madarasa mawili ya mawili katika shule ya msingi Usa River, yaliyojengwa kwa ufadhili wa Benki ya CRDB.
Waziri wa Mambo ya Ndani, Kangi Lugola akizungumza baada ya kupokea madarasa hayo pamoja na madawati yake.
Meza Kuu.
Waziri wa Mambo ya Ndani, Kangi Lugola akizungumza wakati akitoa hotuba yake katika hafla ya ufunguzi wa madarasa mawili katika shule ya msingi Usa River, yaliyojengwa kwa ufadhili wa Benki ya CRDB, iliyofanyika mwishoni mwa wiki, Wilayani Arumeru, jijini Arusha.
Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Benki ya CRDB, Ally Laay akizungumza katika hafla ya ufunguzi wa madarasa mawili katika shule ya msingi Usa River, yaliyojengwa kwa ufadhili wa Benki ya CRDB, iliyofanyika mwishoni mwa wiki, Wilayani Arumeru, jijini Arusha.
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela akizungumza katika hafla ya ufunguzi wa madarasa mawili katika shule ya msingi Usa River, yaliyojengwa kwa ufadhili wa Benki ya CRDB, iliyofanyika mwishoni mwa wiki, Wilayani Arumeru, jijini Arusha.
Mkuu wa Wilaya ya Arumeru, Jerry Muro akizungumza wakati akitoa shukrani kwa uongozi wa Benki ya CRDB kwa kufanikisha ujenzi wa madarasa mawili ya shule ya msingi Usa River, iliyopo katika wilaya yake.


















No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad