HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, January 14, 2019

Wafanyakazi wa Taasisi ya JKCI waadhimisha sherehe ya miaka mitatu tangu kuanzishwa kwa Taasisi hiyo

 Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Prof. Mohamed Janabi akikata keki ya kuadhimisha miaka mitatu tangu kuanzishwa kwa Taasisi hiyo Septemba 5, 2015 katika sherehe iliyofanyika  hivi karibuni kwenye  hoteli ya Protea Court Yard Sea view iliyopo jijini Dar es Salaam.
 Mchekeshaji Bob Shaw kutoka Shirika la Cardiostart International la nchini Marekani akitoa burudani kwa wafanyakazi wa  Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) pamoja na wageni waalikwa wakati wa sherehe ya maadhimisho ya miaka mitatu tangu kuanzishwa kwa Taasisi hiyo Septemba 5, 2015 iliyofanyika  hivi karibuni kwenye  hoteli ya Protea Court Yard Sea view jijini Dar es Salaam.
 Wafanyakazi wa  Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) pamoja na wageni waalikwa wakicheza mziki wa iyokote uliokuwa ukipigwa na bendi ya Cocodo African Music wakati wa sherehe ya maadhimisho ya miaka mitatu tangu kuanzishwa kwa Taasisi hiyo Septemba 5, 2015 iliyofanyika  hivi karibuni kwenye  hoteli ya Protea Court Yard Sea view iliyopo jijini Dar es Salaam.
 Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Prof. Mohamed Janabi akimkabidhi cheti cha  shukrani mwandishi wa habari wa gazeti la Mtanzania Veronica Romwald kutokana na mchango wa gazeti hilo wa kutoa  elimu kwa umma kuhusu magonjwa ya moyo wakati wa  sherehe ya maadhimisho ya miaka mitatu tangu kuanzishwa kwa Taasisi hiyo iliyofanyika hivi karibuni katika hoteli ya Protea Court Yard Sea view iliyopo jijini Dar es Salaam.
 Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Prof. Mohamed Janabi akimkabidhi cheti cha  shukrani mwandishi wa habari wa gazeti la Tanzania Daima  Asha Mwakyonde  kutokana na mchango wa gazeti hilo wa kutoa  elimu kwa umma kuhusu magonjwa ya moyo wakati wa  sherehe ya maadhimisho ya miaka mitatu tangu kuanzishwa kwa Taasisi hiyo iliyofanyika hivi karibuni katika hoteli ya Protea Court Yard Sea view iliyopo jijini Dar es Salaam.
 Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Prof. Mohamed Janabi akimkabidhi cheti cha  shukrani mwandishi wa habari wa kituo cha Televisheni cha East Africa Oliver Nyeriga  kutokana na mchango wa kituo hicho  wa kutoa  elimu kwa umma kuhusu magonjwa ya moyo wakati wa  sherehe ya maadhimisho ya miaka mitatu tangu kuanzishwa kwa Taasisi hiyo iliyofanyika hivi karibuni katika hoteli ya Protea Court Yard Sea view iliyopo jijini Dar es Salaam.
 Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Prof. Mohamed Janabi akimkabidhi cheti cha  shukrani mwandishi wa habari wa gazeti la Uhuru Baraka Loshiraa kutokana na mchango wa gazeti hilo wa kutoa  elimu kwa umma kuhusu magonjwa ya moyo wakati wa  sherehe ya maadhimisho ya miaka mitatu tangu kuanzishwa kwa Taasisi hiyo iliyofanyika hivi karibuni katika hoteli ya Protea Court Yard Sea view  iliyopo jijini Dar es Salaam.
 Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Prof. Mohamed Janabi akimkabidhi cheti cha  shukrani mwandishi wa habari wa gazeti la Habarileo  Regina Kumba kutokana na mchango wa gazeti hilo wa kutoa  elimu kwa umma kuhusu magonjwa ya moyo wakati wa  sherehe ya maadhimisho ya miaka mitatu tangu kuanzishwa kwa Taasisi hiyo iliyofanyika hivi karibuni katika hoteli ya Protea Court Yard Sea view  iliyopo jijini Dar es Salaam.
Wakurugenzi watano wa  Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wakifungua Champaign wakati wa  sherehe ya maadhimisho ya miaka mitatu tangu kuanzishwa kwa Taasisi hiyo Septemba 5, 2015 iliyofanyika hivi karibuni katika hoteli ya Protea Court Yard Sea view  iliyopo jijini Dar es Salaam. Picha na JKCI

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad