HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Saturday, January 26, 2019

TAASISI YA DORIS MOLLEL YAENDESHA MAFUNZO YA 'KANGAROO' KWA WAUGUZI NCHINI

 Baadhi ya Wauguzi kutoka hospital mbalimbali nchini wakiwa katika picha ya pamoja baada ya kumalizika kwa warsha ya kuelimishana namna ya kuwasaidia wakina mama wanaojifungua watoto kabla ya wakati (Watoto Njiti) hasa katika kipindi cha kumuwezesha mtoto kupata joto lake (Kangaroo), iliyofanyika hivi karibuni jijiji Dar es salaam. Warsha hiyo ilioendeshwa na Taasisi ya Doris Mollel iliyojikitaka katika kusaidia wakinamama na watoto njiti nchini. 
Muuguzi Selina Pemba kutoka Mkoani Shinyanga akitoa somo kwa Wauguzi wenzake namna wanavyotakiwa kuwaelekeza wazazi ubebaji wa mtoto akiwa mdogo, wakati wa warsha ya kuelimishana namna ya kuwasaidia wakina mama wanaojifungua watoto kabla ya wakati (Watoto Njiti) hasa katika kipindi cha kumuwezesha mtoto kupata joto lake (Kangaroo), iliyofanyika hivi karibuni jijiji Dar es salaam.
 Muuguzi Bridgiter Cheyo kutoka Mkoani Pwani, akionyesha namna ya kumfunga Mama anayekuwa amemuweka Mtoto kifuani wakati wa Kangaroo. 
 Muuguzi Cleopatra Mtei kutoka hospitali ya Taifa Muhimbili ambaye ndiye aliyekuwa akiongoza Mafunzo hayo, akizungumza jambo wakati wa warsha ya kuelimishana namna ya kuwasaidia wakina mama wanaojifungua watoto kabla ya wakati (Watoto Njiti) hasa katika kipindi cha kumuwezesha mtoto kupata joto lake (Kangaroo), iliyofanyika hivi karibuni jijiji Dar es salaam.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad