Meneja wa Sabuni ya Omo, Upendo
Mkusa(kushoto) akimkabidhi mshindi wa droo ya
kwanza, Muzdalifa Hamadi Haji pesa taslimu Shilingi
laki tano(500,000/=) aliyoshinda katika Promosheni
ya “Tusua Ada na Omo” inayoendelea katika
Supermakert ya Choppies Mlimani City.Droo ya
kwanza ilichezeshwa mwishoni mwa wiki katika
Supermarkert ya kubwa tatu tofauti ambayo ni
Choppies,Game Mlimani City na Shoppers
Mikocheni, washindi watatu walijishindia pesa
taslimu Shilingi 500,000/= kila mmoja.
Meneja wa Sabuni ya Omo, Upendo
Mkusa(kushoto) akimkabidhi mshindi wa droo ya
kwanza, Gift Obed Ondara pesa taslimu Shilingi laki
tano(500,000/=) aliyoshinda katika Promosheni ya
“Tusua Ada na Omo” inayoendelea katika
Supermakert ya Shoppers Mikocheni.Droo ya
kwanza ilichezeshwa mwishoni mwa wiki katika
Supermakertn ya kubwa tatu tofauti ambayo ni
Choppies,Game Mlimani City na Shoppers
Mikocheni na washindi watatu walijishindia pesa
taslimu Shilingi 500,000/= kila mmoja.
Meneja wa Sabuni ya Omo, Upendo
Mkusa(kushoto) akimkabidhi mshindi wa droo ya
kwanza, Isabela Sango Luhanga pesa taslimu Shilingi
laki tano(500,000/=) aliyoshinda katika Promosheni
ya “Tusua Ada na Omo” inayoendelea katika
Supermarket ya Game Mlimani City.Droo ya kwanza
ilichezeshwa mwishoni mwa wiki katika
Supermarket ya Choppies,Game Mlimani City na
Shoppers Mikocheni na washindi watatu
walijishindia pesa taslimu Shilingi 500,000/= kila
mmoja.
WASHINDI watatu kutoka katika maeneo tofauti ya
jijini Dar es Salaam wamejishindia jumla ya pesa
taslimu Shilingi 1,500,000/= ikiwa ni shilingi
500,000/= kila mmoja katika promosheni ya Tusua
Ada na Omo inayoendelea katika Supermakert
kubwa ya Game, Choppies Mlimani City na
Shoppers Mikocheni,Masaki na Mbezi.
Washindi hao walipatikana mara baada ya kununua
Omo na kuingia rasmi kwenye droo kubwa
inayochezeshwa katika Supermakert hizo.
Akizungumza na Waandishi wa Habari Meneja wa
Omo, Upendo Mkusa kwanza aliwapongeza
washindi wote watatu wa droo ya kwanza na
kuwaomba kama wana watoto wanasoma pesa hizo
wakazilekeze katika kuwasaidia watoto wao katika
sekta ya kuwaendeleza kielimu.
Kampuni ya Unilever kupitia bidhaa yake ya Sabuni
ya Omo wanatambua kama jamii ya Watanzania
imetoka katika kipindi cha Siku kuu ya Chrismass na
Mwaka mpya hivyo wakaona ni jambo jema
kuungana na wanafamilia katika kipindi hiki cha
watoto kwenda shule kuchangia kwa namna moja
ama nyingine kupitia promosheni hii.
Alisema Upendo, katika Promosheni hii ya Tusua
Ada na Omo jumla ya Shilingi milioni sita
(6,000 000/=) zitatolewa kwa washindi 12 ikiwa kila
mmoja atajishindia pesa taslimu Shilingi laki
tano(500,000/=).
Alisema Upendu ushiriki uko wazi kwa kila mtu
lakini lazima uwe na umri zaidi ya miaka 18, ni
lazima ununue Omo 1kg moja ziwe pakti mbili au
500gm pakti ziwe nne au 3.5kg pakti moja,ambapo
mshiriki utapewa kuponi ya itakayoingizwa kwenye
droo itakayochezesha kila jumamosi ya juma hilo.
Mwisho Upendo aliwaomba wakazi wa jiji la Dar es
Salaam kuchangamkia fursa ya pesa hiyo kwani
ushiriki na ushindi wake uko wazi.
Nikufanya manunuzi ya Omo katika Supermakert ya
Game,Choppies au Shoppers Mikocheni, Msaki au
Mbezi tayari unaweza kujishindia pesa taslimu
Shilingi 500,000/=.
No comments:
Post a Comment