HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, January 22, 2019

NMB YACHANGIA MSAADA WA VIFAA VYA UJENZI VYENYE THAMANI YA SH MILIONI TANO WILAYANI KITETO.

Meneja wa NMB kanda ya kati Dodoma, Msolo Mlozi amewaomba wananchi wa Wilaya ya Kiteto, kujiunga na Benki ya NMB kwa kufungua akaunti kwa lengo la kunufaika na Benki hiyo kwa nyanja mbalimbali zikiwemo Elimu, Afya na misaada ya Majanga inapojitokeza.

Mlozi ameyasema hayo hivi karibuni akiwa katika Kijiji cha Chang'ombe alipofika kutoa msaada wa bati, mbao na misumari vya thamani ya milioni tano, kuondoa adha kwa wanafunzi wa shule ya msingi Matereka.


Meneja wa NMB kanda ya kati Dodoma, Msolo Mlozi akizungumza mbele ya wageni waalikwa mbalimbali katika Kijiji cha Chang'ombe alipofika kutoa msaada wa vifaa vya ujenzi kama vile Mabati, Mbao na Misumari vyenye  thamani ya shilingi milioni tano, kuondoa adha kwa wanafunzi wa shule ya msingi Matereka.
 Meneja wa NMB kanda ya kati Dodoma, Msolo Mlozi akikabidhi mabati kwa uongozi wa shule ya msingi Matereka,katika kijiji cha Chang'ombe wilayani Kiteto hivi karibuni. 
 Meneja wa NMB kanda ya kati Dodoma, Msolo Mlozi akikabidhi mbao kwa Uongozi wa shule ya msingi Matereka,katika kijiji cha Chang'ombewilayani Kiteto hivi karibuni.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad