HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, January 18, 2019

KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA ARDHI, MALIASILI NA MAZINGIRA YATEMBELEA MRADI WA KUWEZESHA UMILIKISHWAJI ARDHI (LTSP) MKOANI MOROGORO

 Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi (mb) akisisitiza jambo wakati akitoa maelezo ya utangulizi kwa Kamati ya Kudumu ya bunge ya Ardhi, Maliasili na Mazingira katika mji wa Ifakara kabla ya kuanza kutembelea maeneo ya mradi. Kushoto ni Mwenyekiti wa kamati hiyo Nape Nnauye (mb)
 Mratibu wa mradi wa kuwezesha Urasimishaji Ardhi (LTSP) Godfrey Machabe akitoa taarifa za mradi kwa Kamati ya Kudumu ya Ardhi, Maliasili na Mazingira.
 Mwenyekiti wa kamati ya Kudumu ya bunge ya Ardhi, Maliasili na Mazingira Nape Nnauye (mb) akiuliza jambo juu ya uandaaji wa ramani ya kijiji kutoka kwa afisa mipango miji wa wilaya ya Kilombero baada ya kamati hiyo kufika katika ofisi za LTSP.
 Kamati ikiwa katika ofisi ya afisa ardhi mteule wa wilaya ya Kilombero ambaye ndiye msajili wa hati za hakimiliki za kimila wakioneshwa jinsi hati hizo zinavyosajiliwa.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad