HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Saturday, December 15, 2018

Picha mbalimbali katika ukaguzi wa mabasi katika kituo kikuu cha mabasi Ubungo

 Mkurugenzi wa Barabara wa Mamlaka ya Usafiri wa nchi Kavu na Majini (Sumatra) Johansen Kahatano akizungumza na Askari wa Kikosi cha Usalama Barabarani Ibrahimu Samwix wakati  ukaguzi wa mabasi ya mikoani na nchi jirani katika kituo kikuu cha mabasi Ubungo jijini Dar es Salaam.
 Mkurugenzi wa Barabara wa Mamlaka ya Usafiri wa nchi Kavu na Majini (Sumatra) Johansen Kahatano akipata maelezo kwa Askari wa Kikosi cha Usalama Barabarani Ibrahimu Samwix wakati  ukaguzi wa mabasi ya mikoani na nchi jirani katika kituo kikuu cha mabasi Ubungo jijini Dar es Salaam.
 Askari wa Kikosi cha Usalama Barabarani Ibrahim Samwix wakiwa katika ukaguzi wa mabasi ya mikoani na nchi jirani katika kituo kikuu cha mabasi Ubungo jijini Dar es Salaam.
 Askari wa Kikosi cha Usalama Barabarani Ibrahim Samwix akiwa katika uvungu basi wakati akifanya ukaguzi wa mabasi ya mikoani na nchi jirani katika kituo kikuu cha mabasi Ubungo jijini Dar es Salaam.
 Dereva akipata maelekezo na askari aliyechini ya uvungu ya basi wakati akifanyiwa ukaguzi wa mabasi ya mikoani na nchi jirani katika kituo kikuu cha mabasi Ubungo jijini Dar es Salaam.
 Askari wa Kikosi cha Usalama Barabarani Grant Pawa akimpa maelekezo fundi wa basi wakati akifanyiwa ukaguzi katika kituo kikuu cha mabasi Ubungo jijini Dar es Salaam.
Askari wa Kikosi cha Usalama Barabarani Nuru Seif akimpa maelekezo fundi wa basi wakati akifanyiwa ukaguzi wa basi atika kituo kikuu cha katika mabasi Ubungo jijini Dar es Salaam.( Picha zote na Chalila Kibuda, Globu ya Jamii)

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad