HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, December 21, 2018

NAIBU WAZIRI SIMA ARIDHISHWA NA KASI YA UJENZI WA OFISI YA MAKAMU WA RAIS KATIKA MJI WA SERIKALI

Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mussa Sima (Mwenye tracksuit) akipata maelezo ya maendeleo ya ujenzi  wa Ofisi ya Makamu wa Rais katika Mji wa Serikali kutoka kwa Mhandisi Simeo Machibya ambae ni Meneja Msimamizi wa Mradi kutoka Vikozi vya Ujenzi.  Sima ameridhishwa na kasi ya Ujenzi huo na kumwagiza mkandarasi kujenga kwa wakati, ubora na kuzingatia viwango vinavyokubalika.
Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mussa Sima (Mwenye tracksuit) akishiriki katika shughuli za ujenzi kwa kuchanganya mchanga katika ujenzi wa Ofisi ya Makamu wa Rais unaondelea katika Mji wa Serikali Ihumwa, Dodoma.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad