HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, December 17, 2018

NAIBU WAZIRI MHANDISI HAMAD MASAUNI AFANYA ZIARA WILAYANI MKALAMA MKOANI SINGIDA

 Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni, akisalimiana na watumishi wa Wilaya ya Mkalama, mkoani Singida leo   baada ya kuwasili kwa ziara ya kikazi ya kukagua shughuli zinazofanywa na Idara zilizopo chini ya wizara.Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi
 Mbunge  wa Jimbo la Mkalama, Allan Kiula, akiwa ndani ya gari la polisi  muda mfupi  baada  ya  kukabidhiwa na  Naibu  Waziri  wa  Mambo  ya  Ndani  ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni (hayupo pichani), alipokuwa ziara katika Wilaya hiyo, lengo ikiwa ni kukagua shughuli mbalimbali zinazofanywa na Idara za wizara, mkoani Singida. 
 Mbunge  wa Jimbo la Mkalama, Allan Kiula(kushoto), akimshukuru Naibu  Waziri  wa  Mambo  ya  Ndani ya  Nchi, Mhandisi  Hamad Masauni baada ya kushuhudia gari la polisi (pichani), lililoletwa  kwa  ajili  ya  shughuli  za kudhibiti uhalifu, Naibu  Waziri yupo mkoani Singida  lengo ikiwa ni kukagua  shughuli  mbalimbali  zinazofanywa  na  Idara  za wizara.
 Naibu Waziri  wa  Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni,  akizungumza   na Askari Polisi wa Kituo cha Nduguti kilichopo  Wilayani ya Mkalama, mkoani Singida leo   baada ya kuwasili kwa ziara ya kikazi  ya  kukagua shughuli zinazofanywa na Idara  zilizopo  chini  ya  wizara. 
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni (kulia), akisikiliza maelezo kutoka kwa Mkuu wa Polisi wilayani Mkalama, John Ntalima, mkoani Singida Leo, ikiwa  ziara ya kikazi ya kukagua shughuli zinazofanywa na Idara zilizopo chini ya wizara.Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad