HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, December 12, 2018

MAJALIWA AMPOKEA WAZIRI MKUU WA MISRI, DKT. MOSTAFA MADBOULY

 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akimkaribisha Waziri Mkuu wa Misri, Dkt. Mostafa Madbouly ambaye aliwasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam, Desemba 11, 2018 kwa ziara ya siku mbili nchini. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
  Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiongozana na  Waziri Mkuu wa Misri, Dkt. Mostafa Madbouly ambaye aliwasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam, Desemba 11, 2018 kwa ziara ya siku mbili nchini.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Waziri Mkuu wa Misri, Dkt. Mostafa  Madbouly kwenye hoteli ya Hyyat Regency  jijini Dar es salaam, Desemba 12, 2018. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)  

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad