HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, November 29, 2018

SPIKA NDUGAI AKUTANA NA KUZUNGUMZA NA BALOZI WA FALME ZA NCHI ZA KIARABU

 Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai akizungumza na Balozi wa Falme za Nchi za Kiarabu Mhe. Khalifa Abdulrahman  Almarzooqi alipomtembelea Ofisini kwake  Jijini Dar es Salaam.
  Balozi wa Falme za Nchi za Kiarabu Mhe. Khalifa Abdulrahman  Almarzooqi akimuelezea jambo Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai alipomtembelea  Ofisini kwake Jijini Dar es Salaam.
 Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai katika picha ya pamoja na Balozi wa Falme za Nchi za Kiarabu Mhe. Khalifa Abdulrahman  Almarzooqi mara baada ya kuzungumza naye Ofisini kwake Jijini Dar es Salaam. PICHA NA BUNGE

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad