HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, November 30, 2018

PROF MBARAWA ATEMBELEA OFISI YA DAWASA BUNJU

 Afisa Mtendaji Mkuu wa Mamlaka ya Maji safi na Maji taka Dar es Salaam (DAWASA) Mhandisi Cyprian Luhemeja akiwa ameambatana na Waziri wa Maji na Umwagiliaji Profesa Makame Mbarawa wakati alipotembelea ofisi za DAWASA Bunju Jijini Dar es Salaam.
 Waziri wa Maji na Umwagiliaji Profesa Makame Mbarawa akipewa taarifa na mfanyakazi wa DAWASA kitengo cha kuunganisha wateja wapya, Chini akieleza jambo kwa muhudumu huyo kuhusiana na utaratibi wa kuunganisha wateja wapya.
 Waziri wa Maji na Umwagiliaji akizungumza na kuwasikiliza wananchi waliokwenda kupata huduma kwenye ofisi za DAWASA Bunju Jijini Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad