HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, November 22, 2018

JUKWAA LA TISA LA BIASHARA KATI YA SERIKALI NA SEKTA BINAFSI KUFANYIKA JUMAMOSI ZANZIBAR

 Waziri wa Biashara na Viwanda Zanzibar Balozi Amina Salum Ali  (katikati )akizungumza na Waandishi wa Habari kuhusiana na Jukwaa la Tisa la Biashara baina ya Serikali na Sekta Binafsi litakalofanyika siku ya Jumamosi 24/11/2018 katika Ukumbi wa Sheih Idrisa Abdul Wakil hafla iliofanyika Ofisini kwake Migombani mjini Zanzibar. 
 Baadhi ya Waandishi wa Habari waliohudhuria katika mkutano na Waandishi wahabari kuhusiana na Jukwaa la Tisa la Biashara baina ya Serikali na Sekta Binafsi litakalofanyika siku ya Jumamosi 24/11/2018 katika Ukumbi wa Sheikh  Idrisa Abdul Wakil hafla iliofanyika Ofisini kwake Migombani mjini Zanzibar.
-Waziri wa Biashara na Viwanda Balozi Amina Salum Ali akisisitiza jambo wakati akijibu Maswali mbalimbali alioulizwa katika mkutano na Waandishi wahabari kuhusiana na Jukwaa la Tisa la Biashara baina ya Serikali na Sekta Binafsi litakalofanyika siku ya Jumamosi 24/11/2018 katika Ukumbi wa Sheikh  Idrisa Abdul Wakil hafla iliofanyika Ofisini kwake Migombani mjini Zanzibar.

PICHA NA YUSSUF SIMAI/MAELEZO ZANZIBAR.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad