HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, October 31, 2018

SPIKA NDUGAI AONGOZA KIKAO CHA TUME YA UTUMISHI WA BUNGE NA WATUMISHI WA OFISI YA BUNGE

 Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (wa pili kulia) akizungumza na Watumishi wa ofisi ya Bunge katika kikao cha pamoja kati ya Tume ya Utumishi wa Bunge na Watumishi wa ofisi ya Bunge kilichofanyika leo tarehe 31 Oktoba 2018 katika ukumbi wa Pius Msekwa Bungeni Jijini Dodoma. Kuanzia kushoto ni Naibu Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson, Katibu wa Bunge, Ndg. Stephen kagaigai na Kaimu Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali Watu, Ndg. Alois Makoi
 Katibu wa Bunge, Ndg. Stephen kagaigai (aliesimama) akizungumza na Watumishi wa ofisi ya Bunge (hawapo kwenye picha) katika kikao cha pamoja kati ya Tume ya Utumishi wa Bunge na Watumishi wa ofisi ya Bunge kilichofanyika leo tarehe 31 Oktoba 2018 katika ukumbi wa Pius Msekwa Bungeni Jijini Dodoma. Wa pili kushoto ni Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai, Naibu Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson (Kushoto) na Kaimu Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali Watu, Ndg. Alois Makoi (kulia), Mwenyekiti wa Bunge, Mhe. Mussa Zungu (wa pili nyuma) na Mhe. Mary Chatanda (wa pili kulia nyuma)
 Kaimu Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali Watu, Ndg. Alois Makoi akizungumza na Watumishi wa ofisi ya Bunge katika kikao cha pamoja kati ya Tume ya Utumishi wa Bunge na Watumishi wa ofisi ya Bunge kilichofanyika leo tarehe 31 Oktoba 2018 katika ukumbi wa Pius Msekwa Bungeni Jijini Dodoma. Katikati mbele ni Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai, Naibu Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson (Kushoto mbele) na Katibu wa Bunge, Ndg. Stephen kagaigai (mbele kulia), Mwenyekiti wa Bunge na Mbunge wa Ilala, Mhe. Mussa Zungu (wa pili nyuma kushoto), Mbunge wa korogwe Mjini Mhe. Mary Chatanda (wa pili kulia nyuma) na Mbunge wa Viti Maalum Mhe. Fakharia khamis

Watumishi wa ofisi ya Bunge wakifuatilia kikao cha pamoja na Tume ya Utumishi wa Bunge kilichofanyika leo tarehe 31 Oktoba 2018 katika ukumbi wa Pius Msekwa Bungeni Jijini Dodoma.
(PICHA NA OFISI YA BUNGE)

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad